Breaking News
recent

Omarion aachia EP yake mpya yenye ngoma 4


Ngoma ambazo zipo katika EP hiyo ni pamoja na ‘Open Up’, ‘Soul’ na ‘Flight’ ambazo amemshirikisha C’zar, na ‘Been Around’.
Baada ya kuachia EP hiyo, mkali huyo wa muziki R&B ameonekana kwenye kipande cha video akisema, “I have done a lot in my career. I’ve done so much in my career that, the meaning of everything has changed. It’s way more personal.”
Kwa sasa EP hiyo imeanza kupatikana kwenye mtandao wa Spotify.

No comments:


Powered by Blogger.