Breaking News
recent

UDAKU | MAJIBU YA MRISHO MPOTO KUHUSU WASANII WA BONGO KUKOSA TUZO ZA MTV MAMA 2016


Wakati mashabiki wakiendelea kuzizungumzia tuzo za MTV MAMA 2016 kuwa zinaupendeleo ndani yake, Mrisho mpoto yeye amekuja na swala moja tu kwa mashabiki, vituo vya redio na wasanii wa bongo fleva.
Baada ya Tuzo za MTV MAMA 2016 kutolewa jana huko Afrika kusini na wasanii wabongo kushindwa kuibuka na tuzo hizo, kumekuwa na maneno mengi juu ya tuzo hizo kwa kila shabiki wa hapa Bongo hadi Afrika kwa Ujumla kila mtu akizungumza la kwakwe na wengine kuingizia na utani pia.
Mrishompoto ameamua kufunguka ya kwake juu ya tuzo hizo na kusema watanzania hatuna uzalendo wa kweli.



No comments:


Powered by Blogger.